IQNA – Washiriki wa Mashindano ya 45 ya Kimataifa ya Qur’ani ya Mfalme Abdulaziz wametembelea misikiti ya kihistoria na maeneo ya turathi katika mji wa Madina, kama sehemu ya programu ya kitamaduni iliyoandaliwa na mamlaka za Saudi Arabia.
Habari ID: 3481108 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/19
IQNA – Toleo la 45 la mashindano ya kimataifa ya Qur’ani linaloendelea mjini Makkah limeendelea Jumatatu katika Msikiti Mtukufu (Masjid al Haram), likishuhudia washiriki 18 wakionesha vipaji vyao vya Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3481074 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/12
IQNA – Roboti za kielektroniki zinazoweza kuingiliana na watumiaji zimetumika katika toleo la 45 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani yanayofanyika Makkah kwa lengo la kuboresha huduma kwa wageni.
Habari ID: 3481072 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/11
IQNA – Jukwaa la kielimu la Qur’ani kwa ajili ya wasiozungumza Kiarabu linazinduliwa nchini Saudi Arabia.
Habari ID: 3481069 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/11
IQNA – Siku ya pili ya Mashindano ya 45 ya Kimataifa ya Mfalme Abdulaziz ya Kuhifadhi, Kusoma kwa Tajwidi na Kufasiri Qur’ani Tukufu ilishuhudia washiriki 17 kutoka pembe mbalimbali za dunia wakisoma mbele ya hadhira katika Msikiti Mtukufu wa Makkah.
Habari ID: 3481068 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/11
IQNA – Huduma za Hija kwa Waislamu wa Afrika Kusini sasa zitawekwa chini ya usimamizi wa Baraza la Hija na Umra la Afrika Kusini (SAHUC).
Habari ID: 3480961 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/18
IQNA – Taasisi ya Mfalme Abdulaziz nchini Saudi Arabia imechapisha kitabu kipya kwa lugha ya Kiarabu kinachofuatilia historia ya maendeleo ya zana zilizotumika kuandika Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3480955 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/16
IQNA – Maombi ya visa za Umrah yameanza tena rasmi siku ya leo Jumanne, tarehe 10 Juni, hivyo kuwapa fursa waumini kutoka mataifa mbalimbali kuanza maandalizi ya safari tukufu kuelekea miji mitakatifu ya Makkah na Madinah kwa ajili ya Hija ndogo ya Umrah.
Habari ID: 3480820 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/10
IQNA – Shirika la Hija la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limetunukiwa Tuzo ya Labaytum kwa ubora katika Huduma kwa Mahujaji.
Habari ID: 3480810 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/09
IQNA – Takriban Mahujaji milioni 1.7 wamekusanyika katika ardhi tukufu ya Saudi Arabia kumaliza ibada muhimu za Hija, ambazo zilihitimishwa kwa ibada ya kutupa mawe katika eneo la Mina na kuzunguka Kaaba kwa mara ya mwisho (Tawafu ya kuaga) katika Msikiti Mtukufu wa Makkah.
Habari ID: 3480804 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/08
IQNA – Zaidi ya Waislamu milioni moja kutoka nje ya Saudi Arabia wamewasili katika ufalme huo kwa ajili ya kushiriki katika ibada ya Hija ya kila mwaka, mamlaka husika zimetangaza siku ya Jumatatu.
Habari ID: 3480749 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/27
IQNA – Kituo cha uelimishaji kwa lugha mbalimbali kimezinduliwa katika Msikiti Mkuu wa Makka, mji mtukufu.
Habari ID: 3480674 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/12
IQNA – Kubeba kadi ya Nusuk ndani ya Saudi Arabia ni sharti kwa walio katika safari ya Hijja kwani ina taarifa muhimu. Lakini itakuwaje iwapo atapoteza?
Habari ID: 3480655 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/08
IQNA – Mamlaka za Saudi Arabia zimewakamata raia watano wa kigeni huko Khamis Mushayt, katika mkoa wa Asir kusini mwa nchi, kwa kuhusika na mpango wa kuwatapeli Mahujaji.
Habari ID: 3480642 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/05
IQNA – Waumini wanaokusudia kutekeleza Ibada ya Hija wanaendelea kuwasili Saudi Arabi na kupokelewa katika Msikiti Mkuu wa Makka, ambapo makundi ya awali yaliwasili mnamo Aprili 30.
Habari ID: 3480626 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/02
IQNA – Uwanja wa ndege wa kimataifa katika mji mtakatifu wa Madina ulipokea kundi la kwanza la waumini wanaotekeleza ibada ya Hija ya mwaka huu wa 1446 (2025) siku ya Jumanne.
Habari ID: 3480620 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/30
IQNA –Wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wanaoelekea katika ibada ya Hija nchini Saudi Arabia mwaka huu wanatarajia kuanza safari yao wiki ijayo, kulingana na
Habari ID: 3480612 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/29
IQNA – Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa wito wa kuwepo harakati za jamii ya kimataifa ili kusitisha mauaji makubwa ya kimbari ya karne hii.
Habari ID: 3480607 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/28
IQNA – Saudi Arabia imetangaza kuwa zaidi ya Waislamu milioni 18.5 walitekeleza ibada za Hija na Umrah mwaka uliopita.
Habari ID: 3480591 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/25
IQNA – Maonyesho ya Kaligrafia ya Qur'ani na Mashairi ya Kiarabu, yaliyoandaliwa na Ubalozi Mdogo wa Iran mjini Jeddah, yamefunguliwa rasmi katika mji huo wa bandari wa Saudi Arabia.
Habari ID: 3480576 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/21