iqna

IQNA

IQNA – Maombi ya visa za Umrah yameanza tena rasmi siku ya leo Jumanne, tarehe 10 Juni, hivyo kuwapa fursa waumini kutoka mataifa mbalimbali kuanza maandalizi ya safari tukufu kuelekea miji mitakatifu ya Makkah na Madinah kwa ajili ya Hija ndogo ya Umrah.
Habari ID: 3480820    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/10

IQNA – Shirika la Hija la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limetunukiwa Tuzo ya Labaytum kwa ubora katika Huduma kwa Mahujaji.
Habari ID: 3480810    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/09

IQNA – Takriban Mahujaji milioni 1.7 wamekusanyika katika ardhi tukufu ya Saudi Arabia kumaliza ibada muhimu za Hija, ambazo zilihitimishwa kwa ibada ya kutupa mawe katika eneo la Mina na kuzunguka Kaaba kwa mara ya mwisho (Tawafu ya kuaga) katika Msikiti Mtukufu wa Makkah.
Habari ID: 3480804    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/08

IQNA – Zaidi ya Waislamu milioni moja kutoka nje ya Saudi Arabia wamewasili katika ufalme huo kwa ajili ya kushiriki katika ibada ya Hija ya kila mwaka, mamlaka husika zimetangaza siku ya Jumatatu.
Habari ID: 3480749    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/27

IQNA – Kituo cha uelimishaji kwa lugha mbalimbali kimezinduliwa katika Msikiti Mkuu wa Makka, mji mtukufu.
Habari ID: 3480674    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/12

IQNA – Kubeba kadi ya Nusuk ndani ya Saudi Arabia ni sharti kwa walio katika safari ya Hijja kwani ina taarifa muhimu. Lakini itakuwaje iwapo atapoteza?
Habari ID: 3480655    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/08

IQNA – Mamlaka za Saudi Arabia zimewakamata raia watano wa kigeni huko Khamis Mushayt, katika mkoa wa Asir kusini mwa nchi, kwa kuhusika na mpango wa kuwatapeli Mahujaji.
Habari ID: 3480642    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/05

IQNA – Waumini wanaokusudia kutekeleza Ibada ya Hija wanaendelea kuwasili Saudi Arabi na kupokelewa katika Msikiti Mkuu wa Makka, ambapo makundi ya awali yaliwasili mnamo Aprili 30.
Habari ID: 3480626    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/02

IQNA – Uwanja wa ndege wa kimataifa katika mji mtakatifu wa Madina ulipokea kundi la kwanza la waumini wanaotekeleza ibada ya Hija ya  mwaka huu wa 1446 (2025) siku ya Jumanne. 
Habari ID: 3480620    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/30

IQNA –Wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wanaoelekea katika ibada ya Hija nchini Saudi Arabia mwaka huu wanatarajia kuanza safari yao wiki ijayo, kulingana na
Habari ID: 3480612    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/29

IQNA – Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa wito wa kuwepo harakati za jamii ya kimataifa ili kusitisha mauaji makubwa ya kimbari ya karne hii. 
Habari ID: 3480607    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/28

IQNA – Saudi Arabia imetangaza kuwa zaidi ya Waislamu milioni 18.5 walitekeleza ibada za Hija na Umrah mwaka uliopita.
Habari ID: 3480591    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/25

IQNA – Maonyesho ya Kaligrafia ya Qur'ani na Mashairi ya Kiarabu, yaliyoandaliwa na Ubalozi Mdogo wa Iran mjini Jeddah, yamefunguliwa rasmi katika mji huo wa bandari wa Saudi Arabia.
Habari ID: 3480576    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/21

IQNA – Rais wa Iran Massoud Pezeshkian amesema umoja wa Waislamu kuwa msingi wa amani na maendeleo katika eneo hilo. 
Habari ID: 3480558    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/18

IQNA – Mipango inaendelea kuanzisha maeneo ya kupumzika kwa Mahujaji katika sehemu mbalimbali za Mina, Arafat na Muzdalifah karibu na Makka wakati wa Hija ya kila mwaka. 
Habari ID: 3480557    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/18

IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa: Uhusiano kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Saudi Arabia utakuwa na faida kwa pande mbili na unaweza kuzifanya pande mbili hizo zikamilishane.
Habari ID: 3480555    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/18

IQNA – Jumla ya raia 85,000 wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran watashiriki katika ibada ya Hija mwaka huu ambapo miongoni mwao  1,100 wana umri wa zaidi ya miaka 80, afisa mmoja alisema.
Habari ID: 3480553    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/17

IQNA – Saudi Arabia imewafukuza raia wa kigeni wasiopungua 8,000 kama sehemu ya kampeni ya usalama kwa lengo la kuhakikisha utaratibu kabla ya Hija ya mwaka huu, Wizara ya Mambo ya Ndani ilitangaza. 
Habari ID: 3480540    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/14

Turathi
IQNA-Maktaba ya Umma ya Mfalme Abdulaziz (KAPL) mjini Riyadh, Saudi Arabia, inahifadhi nakala 400 adimu za MIsahafu kutoka zama mbalimbali za Kiislamu ambapo  nyingi ni za kati ya karne ya 10 hadi 13 Hijria.
Habari ID: 3480524    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/11

Rais Pezeshkian wa Iran katika mazugumzo na Bin Salman wa Saudia
IQNA-Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amefanya mazungumzo ya simu na Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudia na kusisitiza kwa kusema: "Nina imani kwamba kama nchi za Kiislamu zitafanya kazi kwa pamoja, zinaweza kuleta usalama na ustawi bora katika eneo hili."
Habari ID: 3480489    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/04