saudi arabia

IQNA

IQNA – Mwigizaji maarufu wa Hollywood, Giancarlo Esposito, amethibitisha kuingia kwake katika dini ya Kiislamu baada ya kutamka Shahada, nguzo kuu ya imani ya Kiislamu, na kushiriki katika ibada ya swala msikitini pamoja na wahudumu wenzake wa uzalishaji wa filamu.
Habari ID: 3482393   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/23

IQNA – Waislamu wa madhehebu ya Shia katika eneo la Qatif nchini Saudi Arabia wanaendelea kufanya majlisi na ibada za Muharram licha ya vizuizi vinavyoripotiwa kuwekwa na mamlaka.
Habari ID: 3482376   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/19

IQNA – Katika hatua kali ya kusimamia viwango vya ubora wa huduma, mashirika 21 yanayotoa huduma za Umrah yamesimamishwa kazi kufuatia tathmini ya utendaji iliyofanywa baada ya msimu uliopita.
Habari ID: 3482358   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/14

IQNA – Wakiwa na mizigo mikononi mwao lakini nyoyo zao zikiwa bado zimejaa athari za ibada za Hija, mahujaji waliokuwa wakiondoka walikabidhiwa kila mmoja zawadi yanakala ya Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3482314   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/02

IQNA – Katika vituo vya kuondokea abiria vya Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mfalme Abdulaziz uliopo Jeddah, kuna jitihada tulivu na yenye baraka zinazoendelea.
Habari ID: 3482305   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/31

IQNA – Huku zaidi ya mahujaji milioni 1.6 wakijumuika katika joto kali la kiangazi, minara ya kutoa ukungu wa maji (mist), njia zenye vivuli, na mifumo ya kisasa ya kupoza hewa imesambazwa katika maeneo matakatifu ya Makka ili kuwakinga waumini dhidi ya joto kali wakati wa msimu wa Hijja wa mwaka huu.
Habari ID: 3482281   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/25

IQNA – Kwa kuwasili kwa kundi la mwisho la Wairni mjini Madina kwa ajili ya Hija ya mwaka 1447 (2026), mchakato wa kuwasafirisha waumini kuelekea Ardhi ya Wahyi umekamilika. Zaidi ya waumini 30,000 wamesafiri kutoka nchini humo kwenda Ardhi ya Wahyi kupitia safari za ndege 130 kwa ajili ya Ibada ya Hija mwaka huu.
Habari ID: 3482262   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/20

IQNA – Mamlaka zinazosimamia Msikiti Mkuu wa Makka na Msikiti wa Mtume mjini Madina zimeanza kutumia mfumo wa tafsiri ya papo kwa papo kwa lugha nyingi.
Habari ID: 3482249   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/17

IQNA – Huku mamilioni ya Waislamu wakitarajiwa kuhudhuria ibada ya Hija mwaka huu, vikosi vya usalama vya Saudi Arabia vimeimarisha hatua za kukabiliana na watu wanaojaribu kuingia Makkah na maeneo matakatifu bila vibali rasmi vya Hija.
Habari ID: 3482222   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/10

IQNA-Licha ya kwamba safari za waumini kuelekea Hija zilianza wiki tatu zilizopita, serikali ya Saudi Arabia imepiga marufuku ghafla walio chini ya umri wa miaka 15 kutekeleza ibada ya Hija mwaka huu.
Habari ID: 3482215   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/08

IQNA – Wakati mchakato wa kuwasafirisha waumini wa Iran kuelekea Saudi Arabia kwa ajili ya kutekeleza ibada ya Hija ukiendelea kushika kasi, idadi kubwa ya visa za Hija kwa waumini hao tayari zimetolewa.
Habari ID: 3482208   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/06

IQNA – Msafara wa kwanza wa Wairani wanaoshiriki katika Ibada ya Hija mwaka huu umewasili Saudi Arabia.
Habari ID: 3482163   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/25

IQNA – Ziara ya siku mbili ya kukagua vituo vya afya katika mji mtukufu wa Makka, ili kutathmini utayari wao kwa msimu ujao wa Hija, imekamilishwa na waziri wa afya wa Saudia.
Habari ID: 3482160   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/25

IQNA – Ufalme wa Saudi Arabia umeanzisha mpango wake wa kila mwaka wa Mwezi wa Ramadhani katika ngazi ya kimataifa, unaojumuisha ugawaji wa nakala milioni 2.2 za Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3481945   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/16

IQNA – Mfalme Salman bin Abdulaziz wa Saudi Arabia amemteua kiongozi mmoja kutoka jamii ya Waislamu wa madhehebu ya Shia kuwa Waziri wa Uwekezaji wa nchi hiyo.
Habari ID: 3481937   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/15

IQNA – Wakati mamilioni ya Waislamu duniani kote wakisubiri kwa hamu kuwasili kwa mwezi mtukufu wa Ramadhani na maandalizi yakiendelea, hesabu za kiastronomia zinaonesha kuwa mwisho wa mwezi wa Shaaban 1447 Hijria kiastronomia utasadifiana na Jumatano, Februari 18.
Habari ID: 3481914   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/10

IQNA – Idadi ya wageni wa wa kimataifa waliotekeleza ibada ya Hija ndogo ya Umrah katika Ufalme wa Saudi Arabia ilifikia milioni 19.5 mwaka 2025, kwa mujibu wa takwimu rasmi, huku kiwango cha kuridhika na huduma kikizidi asilimia 90.
Habari ID: 3481882   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/02

Rais wa Iran katika mazungumzo na Bin Salman wa Saudia
IQNA-Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Masoud Pezeshkian amesema kuwa katika ghasia za hivi karibuni, maadui, yaani Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel, walilenga kuigeuza Iran kuwa Syria au Libya nyingine,"
Habari ID: 3481858   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/28

IQNA-Msikiti wa Imam Mahdi (AS) uliopo Sihat, katika Mkoa wa Mashariki wa Saudi Arabia, ulijengwa takribani miaka 132 iliyopita, na hivyo kuwa miongoni mwa nyumba kongwe za ibada katika eneo hilo.
Habari ID: 3481806   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/15

IQNA – Wageni wa Maonyesho ya 48 ya Vitabu Kimataifa mjini Kuwait wamepewa zawadi ya nakala zaidi ya 5,000 za Qur'ani Tukufu. Banda la Wizara ya Mambo ya Kiislamu ya Saudi Arabia limesambaza nakala hizo, kwa mujibu wa taarifa ya Al-Madinah.
Habari ID: 3481590   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/30